Kwa taarifa zaidi mfollow Production Manager wa Nisha`s film @ochu_255
Friday, December 4, 2015
NISHA`S FILM PRODUCTION WAJA KIVINGINE
Kwa taarifa zaidi mfollow Production Manager wa Nisha`s film @ochu_255
Wednesday, July 15, 2015
NISHA AMEJIOA MWENYEWE , WABONGO WASHIKWA NA BUTWAA

Msanii wa Comedy ambae anakadiriwa kua ni wapekee wa kike Africa Mashariki ikiwemo Kenya Uganda na Tanzania katika nyanja a uchekeshaji..... Akiwa nchini China nchi iliyogubikwa na Teknolojia ya hali ya juu... NISHA alitangaza kua ameamua kujioa yeye mwenyewe... huku Aina hiyo ya ndoa ikiwa na Sitntojua kua ni ya kabila gani na kwanini aliamua kuichagua China kua ndio sehemu pekee ya kutekeleza jambo hilo....huku akivaa mavazi nusu nusu... aina hii inatambulika kama (Shemale) duniani.. huenda akawa msanii na mtu wa kwanza kufanya tukio hili la pekee nchini...
Tukirudi katika maadili ya nchi Tunagundua kua aina hii si moja kati ya zile ambazo zimekatazwa kwani ameamua kujimiliki mwenyewe..bila kuvunja sheria...za maadili ya nchi.
Hivyo sheria ya nchi haiwezi kumtuhumu kama wanavyotuhumiwa wasanii wanapovunja maadili ya nchi huko ughaibuni.
AWA GUMZO CHINA
Msanii NISHA amekua akiwaacha wananchi wa jamii ya CHINA meno nje hasa anapokwenda katika moja ya hotel nchini humo kwa lengo la kujipatia milo ya mchana.asubuhi ama usiku.. kwani amekua akiagiza vyakula vya aina ya nchi hiyo na hujitahidi kula kama amezaliwa huko.
Muonekano na kuongea kwake kuliwachekesha sana Wachina katika mitaa ya Nchini humo hasa alipokua katika mizunguko... huku akizidi kuchana shavu baada ya kupokea mialiko katika sehemu mbali mbali muhimu...ikiwa hasa ni kuiongelea sanaa ya Tanzania...na ubora wake..
Msanii NISHA amekua akiwaacha wananchi wa jamii ya CHINA meno nje hasa anapokwenda katika moja ya hotel nchini humo kwa lengo la kujipatia milo ya mchana.asubuhi ama usiku.. kwani amekua akiagiza vyakula vya aina ya nchi hiyo na hujitahidi kula kama amezaliwa huko.
Muonekano na kuongea kwake kuliwachekesha sana Wachina katika mitaa ya Nchini humo hasa alipokua katika mizunguko... huku akizidi kuchana shavu baada ya kupokea mialiko katika sehemu mbali mbali muhimu...ikiwa hasa ni kuiongelea sanaa ya Tanzania...na ubora wake..
AJIFUNZA
Fursa ya mwanadada NISHA kutembelea katika uwanda wa nchi hizo... Alionekana kujifunza mengi sana hasa swala la sanaa na Mazoezi.. kitu ambacho wasanii wa China wamekua wakiweka kipa umbele sana.. tofauti na Tanzania.. wasanii wanaona sanaa na mazoezi ya mwili ni vitu viwili tofauti.
Blog hii ilijaribu.. kumtafuta mwanadada NISHA kwa mazungumzo ila bila mafanikio.. kwani amekua akizongwa na shuhuli zilizompeleka huko za kisanaa....
AWA TISHIOFursa ya mwanadada NISHA kutembelea katika uwanda wa nchi hizo... Alionekana kujifunza mengi sana hasa swala la sanaa na Mazoezi.. kitu ambacho wasanii wa China wamekua wakiweka kipa umbele sana.. tofauti na Tanzania.. wasanii wanaona sanaa na mazoezi ya mwili ni vitu viwili tofauti.
Blog hii ilijaribu.. kumtafuta mwanadada NISHA kwa mazungumzo ila bila mafanikio.. kwani amekua akizongwa na shuhuli zilizompeleka huko za kisanaa....
Safari ya NISHA na uwepo wa huko China kuna weza kua Tishio kwa wasanii wa Bongo kwani huenda akaendelea kuliteka soko la filum Bongo kwa kile kinachodaiwa huenda akaanguka mikataba na ma kampuni makubwa ya utoaji Filum za huko China.
KILA LA HERI SALMA JABU NISHA...
Wednesday, June 24, 2015
KOMEDI KUMPELEKA NISHA UGHAIBUNI
Sikutaka kusema mapema ila wameniwahi,..
😢tukijaaliwa na ahsante M'Mungu we ni mwema sana... Kikubwa ahsanteni sana mashabiki zangu wote,nyi ndo mnaotenda haya.
Management yng yote ahsante...
#MTAAKWAMTAA ahsante 😢😭dah
Nisha punguza comedy haikufai.. guyz kwny ugali usichague kikubwa kiwe halali ☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆
Monday, June 1, 2015
WABUNGE NA MAWAZIRI WAISIFIA MTAA KWA MTAA

Sunday, May 31, 2015
WASANII WACHANGA WAONYESHA UWEZO WAO NDANI YA MTAA KWA MTAA

Saturday, May 30, 2015
MASTAR WAIPOKEA MTAA KWA MTAA KWA KISHINDO


Wednesday, May 27, 2015
NISHA ASHANGAZA MAMILION YA WATU

Hongera Nisha MTAA KWA MTAA itazidi kufanya maajabu na
kushangaza zaidi.

Sunday, May 24, 2015
ANGALIZO KWA WAANDAAJI WA TUZO

Friday, May 22, 2015
NISHA'S FILM SOKONI TENA
Kampuni ya Nisha's Film Production yatarajia kuingiza sokoni movie yao mpya inayo julikana kama MTAA KWA MTAA akiongea hayo Bwana Othman Thiney ambaye ni Production Manager wa Nisha's Film Bwana Othman amesema MTAA KWA MTAA ni Movie nzuri ambayo Story yake haijawahi kuchezwa hapa Bongo anacho waomba watu wanunue cd original ili kuendeleza sanaa ya hapa nyumbani. MTAA KWA MTAA INATOKA MWISHO WA MWEZI HUU
Subscribe to:
Posts (Atom)