Sunday, May 31, 2015

WASANII WACHANGA WAONYESHA UWEZO WAO NDANI YA MTAA KWA MTAA

Kama ilivyokawaida ya Nisha's film production huwa haiwaachi wasanii wachanga basi humo kwenye MTAA KWA MTAA wamefanya yao. Katika kitu ambacho hakikutegemewa ni wasanii hao wachanga kuonyesha uwezo wao wahali ya juu mpaka mtu ushindwe kutambua kama kweli hawa ndio mara yao ya kwanza au ni wakongwe katika sanaa. Kama huja nunua Dvd ya MTAA KWA MTAA kanunue sasa ili uweze kujionea uwezo wa wasanii hao wachanga katika sanaa ya uigizaji. Nisha's film production lengo lake kubwa ni kuwainua wasanii wa changa hivyo huwapa nafasi za kucheza katika movie zinazotoka Nisha's film zam kwa zam. Kama na wewe ni msanii mchanga na unahitaji kushiriki katika movie za Nisha's film basi fanya ku follow page zetu za instagram ambazo ni @nishabebee @nishasfilmproduction @ochu_255 na kwa wale waliopo facebook unaweza ku join katika group letu ambalo ni Team nisha films production au unaweza kulike page yetu Nisha's film production pia kama upo whatsapp unaweza kuwasiliana na Production manager wa Nisha's film bwana Othman kwa no 0789 586057.











No comments:

Post a Comment