Kama ilivyokawaida ya Nisha's film production huwa haiwaachi wasanii
wachanga basi humo kwenye MTAA KWA MTAA wamefanya yao. Katika kitu
ambacho hakikutegemewa ni wasanii hao wachanga kuonyesha uwezo wao
wahali ya juu mpaka mtu ushindwe kutambua kama kweli hawa ndio mara yao
ya kwanza au ni wakongwe katika sanaa. Kama huja nunua Dvd ya MTAA KWA
MTAA kanunue sasa ili uweze kujionea uwezo wa wasanii hao wachanga
katika sanaa ya uigizaji. Nisha's film production lengo lake kubwa ni
kuwainua wasanii wa changa hivyo huwapa nafasi za kucheza katika movie
zinazotoka Nisha's film zam kwa zam. Kama na wewe ni msanii mchanga na
unahitaji kushiriki katika movie za Nisha's film basi fanya ku follow
page zetu za instagram ambazo ni @nishabebee @nishasfilmproduction
@ochu_255 na kwa wale waliopo facebook unaweza ku join katika group letu
ambalo ni Team nisha films production au unaweza kulike page yetu
Nisha's film production pia kama upo whatsapp unaweza kuwasiliana na
Production manager wa Nisha's film bwana Othman kwa no 0789 586057.
No comments:
Post a Comment