Saturday, May 30, 2015

MASTAR WAIPOKEA MTAA KWA MTAA KWA KISHINDO


MTAA KWA MTAA ya pokelewa kwa kishindo na mastar katika movie zilizokubaliawa na mastar basi MTAA KWA MTAA ndio movie namba moja iliyo kubalika kwani kila mmoja aliisifia na wengine kuahidi kuitafuta maana kuanzia wasanii,ma producer,ma director pamoja na wanamziki na hata wale watu wenye majina makubwa hapa nchini oda kutoka nchi mbalimbali za zidi kumiminika. Kenya,Rwanda,Burundi,Congo pamoja na nchi za bara la ulaya wanapiga simu nakuulizia ni jinsi gani wanaweza kuipata movie ya MTAA KWA MTAA.
HONGERA SALMA JABU NISHA KWA MOVIE BORA YENYE KUELIMISHA NA KUBURUDISHA










No comments:

Post a Comment