Sunday, May 24, 2015

ANGALIZO KWA WAANDAAJI WA TUZO

Kwanza napenda kuwapongeza wasanii wote ambao wanafanyiwa hujuma ili washuke kisanaa lakini matokeo yake wanapambana nakuendelea kusonga mbele ninachopenda kuwaambia TUZO siyo kitu kinachokufanya uwejuu bali juhudi zako katika kazi heshima na upendo kwa kila mtu ndio TUZO muhimu katika kazi yako ya yasanaa kwani itakuongezea mashabiki na kukupa maendeleo. Baada ya kuandika hayo narudi sasa kwenye mada kuu. Kwanza kabisa napenda kuanza kwenye TUZO zilinzo anza muda kidogo ambazo ni TUZO za KILIMANJARO MUSIC AWARDAS hizi TUZO zilianza kwa kasi sana watu wengi walikuwa wakizifuatilia na kuwapigia kura wasanii wanaowapenda lakini walikuja kuboronga pale walipoenda kinyume na wapigaji kura hadi leo hii tunaona TUZO za KILIMANJARO MUSIC AWARDS zipo lakini zimepoteza mvuto kama zamani na hata wapigaji kura wamepungua sio kama zilivyoanza.  Naomba tuhamie upande wapili kwenye hizi TUZO zilizoanza ambazo nazenyewe zimeshaanza kufanya ndivyo sivyo. TUZO ZA WATU hili jina ni tata kidogo kwa maana linamaana mbili maana ya kwanza Tuzo za watu yaani kuna watu maalum wameekewa hizo TUZO ndio maana ukaambiwa TUZO ZA WATU maana ya pili ambayo ndio waisema wao nikwamba watu wanawapigia kura wasanii wanao wapenda ili wagombanie hizo tuzo ndio maana ikaitwa TUZO ZA WATU hapa staki kuongea mengi kwa maana wenyewe mejionea katika wanaogombania 99% waliokuwepo ukumbini ndio walochukua TUZO. Hayo yote tisa kumi ni kwenye TUZO zililizo tolewa jana tuzo za TANZANIA FILM AWARDS ni TUZO mliboronga kupindukia kwanza mlichemka kwenye kupangalia kugombania hizo tuzo halafu jambo jengine kubwa mlilonishangaza TUZO mmeandaa wenyewe halafu nanyie wenyewe mpokatika kugombania kisha nyienyie ndio mnashinda jamani hamjui hatakula nakipofu. MWAKIFWAMBA hapa hamjengi bali mnabomoa kwani wasanii wenyewe wataanzakuchukiana pili mtajenga matabaka ya mashabiki na hapo ndio uhasama utazidi kwa wasanii. Napia mtasababisha wasanii wasiwe wana shiriki kwenye TUZO. lamwisho ninalopenda kuwaambia waandaaji wa hizi tuzo MSANII HAPANDISHWI KWA KUPEWA TUZO BALI MSANII ANAPANDA JUU KWA KAZI NZURI NA BORA.



No comments:

Post a Comment