Friday, May 22, 2015

NISHA'S FILM SOKONI TENA

Kampuni ya Nisha's Film Production yatarajia kuingiza sokoni movie yao mpya inayo julikana kama MTAA KWA MTAA akiongea hayo Bwana Othman Thiney ambaye ni Production Manager wa Nisha's Film Bwana Othman amesema MTAA KWA MTAA ni Movie nzuri ambayo Story yake haijawahi kuchezwa hapa Bongo anacho waomba watu wanunue cd original ili kuendeleza sanaa ya hapa nyumbani. MTAA KWA MTAA INATOKA MWISHO WA MWEZI HUU

No comments:

Post a Comment