Wednesday, May 27, 2015

NISHA ASHANGAZA MAMILION YA WATU



Msanii wa filamu mwenye jina kubwa na heshima kwa jamii Salma Jabu Nisha ashangaza watu wengi baada ya filamu yake ya MTAA KWA MTAA inayotoka kesho siku ya alhamis tarehe 28/05/2015 kuisha steps na mwakala nchi nzima kugombaniana,hivyo kuwapa kuwapa kazi tena steps intertainment kutoa nakala nyingi zaidi za filamu hiyo ya MTAA KWA MTAA ambayo  imeoneshwa kupendwa na kukubaliwa  sana na mashabiki  kabla haijatoka, imeitwa maajabu kutokana kwamba filamu za star huyo asiyekuwa na scandals,mwenye sifa uchapakazi ‘’NISHA’’ kuvunja  record kazi zake kwa mauzo na kumfanya azidi kung’ara na kutoa filamu kali kupita zote kila atoapo,filamu hiyo kali ya MTAA KWA MTAA amewashirikisha  waigizaji mahiri kama Asha book,Hemedy Suleiman,Tausi Mdegela,Diana Kimary huku motto wake Nisha Iptysam Othman akionesha kung’ara zaidi naye,MTAA KWA MTAA imekuwa kiburudisho kikubwa haswa kwa kuonekana Nisha na Asha Boko kwenye mavazi ya Kitrafic huku kila mtu akitamani kujua ndani kuna nini na imekuwaje wakali hawa kuwa katika mavazi hayo. MTAA KWA MTAA itatoka kesho tarehe 28/05/2015 Mungu ibariki Mtaa kwa Mtaa ,ibariki Nisha’s film production,wabariki wasanii wanaojituma Tanzania.

Hongera Nisha MTAA KWA MTAA itazidi kufanya maajabu na kushangaza zaidi.





No comments:

Post a Comment