Monday, June 1, 2015

WABUNGE NA MAWAZIRI WAISIFIA MTAA KWA MTAA

Baada ya kuona Mastar wakiisifia MTAA KWA MTAA sasa Nisha apata msg kutoka kwa wabunge pamoja na mawaziri wakimpongeza kwa kazi nzuri aliyoifanya ndani ya MTAA KWA MTAA. Ndani ya hiyo movie kuna mastar nao waliofanya yao kati ya mastar hao ni Asha Boko,Hemed Suleiman,Diana Kimary,Tausi Mdegela pamoja na mtoto wake Salma Jabu Nisha ambaye ameonyesha uwezo mkubwa anajulikana kama Iptysam Othman. Kama ilivyo kawaida ya Nisha's film huwa haiwachi wasanii wachanga nao wakafanya yao humo.


No comments:

Post a Comment