Tuesday, January 12, 2016

NISHA`S FILM PRODUCTION YAWAFUTA MACHOZI WASANII WACHANGA

Ile kampuni kubwa Nchini Tanzania ya mwana dada mashuhuri mwenye roho ya kizungu Salma Jabu Nisha ya wafuta machozi nakuwafungulia njia wasanii hao kwa kuwapa nafasi walizokuwa wakiziota kila siku za kucheza movie katika nafasi kubwa ambazo huchezwa na wasanii wenye majina makubwa. Wasanii hao wachanga wafunguka nakumshukuru sana kwani Mastar wenye moyo kama wake niwachache hivyo wamuomba asivunjike moyo aendelee na moyo huo huo wamuahidi kufanya vizuri zaidi ya walivyofanya kwenye movie yao mpya waliyoipa jina la ``KIBOKOKABISA``
KIBIKOKABISA ni movie mpya yenye kuelimisha,kuchekesha pia kuburudisha iliyofanywa na kampuni ya Nisha`s Film Production filamu hiyo inatarajiwa kuingia sokoni mwisho wa mwezi huu



KWA TAARIFA ZAIDI UNAWEZA KUTEMBELEA ACCOUNT ZA INSTAGRAM
@nishabebee @othman26square @teamnisha @nishasfilmproduction

No comments:

Post a Comment