Saturday, January 23, 2016

NISHA AMILIKI BAND YAKE

Mwana dada Salma Jabu Nisha aanzisha bend yake aliyoipa jina la movie yake mpya inayoitwa ``KIBOKOKABISA`` Bongohood ilipo fanya mahojiano naye nakumuuliza kwanini kaamua kuiita jina la movie KIBOKOKABISA  ndipo alipofunguka haya ``Nimeamua kuiita KIBOKOKABISA kutokana na Band yenyewe kwanza wapigaji vyombo vya Band hiyo, Vyombo  vya Band hiyo yani ukibahatika kuiyona live ndio utaamini kama ni KIBOKOKABISA pia napenda kuwaambia mashabiki zangu kuwa napenda kuwapa burudani basi mwisho wa mwezi huu NISHA`S FILM PRODUCTION itaachia movie yetu ya KIBOKOKABISA napia tutaachia video na audio ya Mziki kutoka KIBOKOKABISA BAND``
SALMA JABU NISHA KATIKA POZI
NISHA A.K.A KIBOKOKABISA










                                                                                               IG@nishabebee
                                                                                               IG@othman26square

No comments:

Post a Comment