Mwana dada Salma Jabu Nisha aanzisha bend yake aliyoipa jina la movie yake mpya inayoitwa ``KIBOKOKABISA`` Bongohood ilipo fanya mahojiano naye nakumuuliza kwanini kaamua kuiita jina la movie KIBOKOKABISA ndipo alipofunguka haya ``Nimeamua kuiita KIBOKOKABISA kutokana na Band yenyewe kwanza wapigaji vyombo vya Band hiyo, Vyombo vya Band hiyo yani ukibahatika kuiyona live ndio utaamini kama ni KIBOKOKABISA pia napenda kuwaambia mashabiki zangu kuwa napenda kuwapa burudani basi mwisho wa mwezi huu NISHA`S FILM PRODUCTION itaachia movie yetu ya KIBOKOKABISA napia tutaachia video na audio ya Mziki kutoka KIBOKOKABISA BAND``
SALMA JABU NISHA KATIKA POZI |
NISHA A.K.A KIBOKOKABISA |
IG@nishabebee
IG@othman26square
No comments:
Post a Comment