KIBOKOKABISA ni Filamu ya kitanzania iliyotengenezwa nchini Tanzania
ambayo inaweza kutazamwa duniani kote na rika lolote. Ni filamu yenye
kuelimisha na kuburudisha pia ni filamu ambayo imechukua muda mrefu
kutokana na kuandaliwa mazingira ya kurekodi vipande vya filamu hiyo.
Nisha`s Film Production ni kampuni ya kwanza Tanzania inayo wathamini
wasanii wachanga kwa kuweza kuwapa nafasi katika filamu zake ili kuweza
kuonyesha uwezo wao. Ndani ya KIBOKOKABISA wasanii hao wamecheza nafasi
kubwa nakwa uwezo mkubwa mpaka inakuwa ngumu kugundua kama wasanii hao
ndio mara yao yakwanza kwenye game. KIBOKO KABISA IMEINGIA SOKONI IJUMAA
YA TAREHE 29 MWEZI WAKWANZA MWAKA 2016
MARIAM BHAO |
JENIFER TEMU |
FRIDAUS KHATIBU |
HEMEDY CHANDE |
TUNU KHAMIS |
No comments:
Post a Comment