Ile kampuni kubwa Nchini Tanzania ya mwana dada mashuhuri mwenye roho ya
kizungu Salma Jabu Nisha ya wafuta machozi nakuwafungulia njia wasanii
hao kwa kuwapa nafasi walizokuwa wakiziota kila siku za kucheza movie
katika nafasi kubwa ambazo huchezwa na wasanii wenye majina makubwa.
Wasanii hao wachanga wafunguka nakumshukuru sana kwani Mastar wenye moyo
kama wake niwachache hivyo wamuomba asivunjike moyo aendelee na moyo
huo huo wamuahidi kufanya vizuri zaidi ya walivyofanya kwenye movie yao
mpya waliyoipa jina la ``KIBOKOKABISA``
KIBIKOKABISA ni movie mpya yenye kuelimisha,kuchekesha pia kuburudisha
iliyofanywa na kampuni ya Nisha`s Film Production filamu hiyo
inatarajiwa kuingia sokoni mwisho wa mwezi huu
KWA TAARIFA ZAIDI UNAWEZA KUTEMBELEA ACCOUNT ZA INSTAGRAM
@nishabebee @othman26square @teamnisha @nishasfilmproduction