Friday, January 29, 2016

KIBOKO KABISA YA PASUA ANGA AFRIKA MASHARIKI

KIBOKOKABISA ni Filamu ya kitanzania iliyotengenezwa nchini Tanzania ambayo inaweza kutazamwa duniani kote na rika lolote. Ni filamu yenye kuelimisha na kuburudisha pia ni filamu ambayo imechukua muda mrefu kutokana na kuandaliwa mazingira ya kurekodi vipande vya filamu hiyo. Nisha`s Film Production ni kampuni ya kwanza Tanzania inayo wathamini wasanii wachanga kwa kuweza kuwapa nafasi katika filamu zake ili kuweza kuonyesha uwezo wao. Ndani ya KIBOKOKABISA wasanii hao wamecheza nafasi kubwa nakwa uwezo mkubwa mpaka inakuwa ngumu kugundua kama wasanii hao ndio mara yao yakwanza kwenye game. KIBOKO KABISA IMEINGIA SOKONI IJUMAA YA TAREHE 29 MWEZI WAKWANZA MWAKA 2016
MARIAM BHAO

JENIFER TEMU

FRIDAUS KHATIBU

HEMEDY CHANDE

TUNU KHAMIS

Saturday, January 23, 2016

NISHA AMILIKI BAND YAKE

Mwana dada Salma Jabu Nisha aanzisha bend yake aliyoipa jina la movie yake mpya inayoitwa ``KIBOKOKABISA`` Bongohood ilipo fanya mahojiano naye nakumuuliza kwanini kaamua kuiita jina la movie KIBOKOKABISA  ndipo alipofunguka haya ``Nimeamua kuiita KIBOKOKABISA kutokana na Band yenyewe kwanza wapigaji vyombo vya Band hiyo, Vyombo  vya Band hiyo yani ukibahatika kuiyona live ndio utaamini kama ni KIBOKOKABISA pia napenda kuwaambia mashabiki zangu kuwa napenda kuwapa burudani basi mwisho wa mwezi huu NISHA`S FILM PRODUCTION itaachia movie yetu ya KIBOKOKABISA napia tutaachia video na audio ya Mziki kutoka KIBOKOKABISA BAND``
SALMA JABU NISHA KATIKA POZI
NISHA A.K.A KIBOKOKABISA










                                                                                               IG@nishabebee
                                                                                               IG@othman26square

Tuesday, January 12, 2016

NISHA`S FILM PRODUCTION YAWAFUTA MACHOZI WASANII WACHANGA

Ile kampuni kubwa Nchini Tanzania ya mwana dada mashuhuri mwenye roho ya kizungu Salma Jabu Nisha ya wafuta machozi nakuwafungulia njia wasanii hao kwa kuwapa nafasi walizokuwa wakiziota kila siku za kucheza movie katika nafasi kubwa ambazo huchezwa na wasanii wenye majina makubwa. Wasanii hao wachanga wafunguka nakumshukuru sana kwani Mastar wenye moyo kama wake niwachache hivyo wamuomba asivunjike moyo aendelee na moyo huo huo wamuahidi kufanya vizuri zaidi ya walivyofanya kwenye movie yao mpya waliyoipa jina la ``KIBOKOKABISA``
KIBIKOKABISA ni movie mpya yenye kuelimisha,kuchekesha pia kuburudisha iliyofanywa na kampuni ya Nisha`s Film Production filamu hiyo inatarajiwa kuingia sokoni mwisho wa mwezi huu



KWA TAARIFA ZAIDI UNAWEZA KUTEMBELEA ACCOUNT ZA INSTAGRAM
@nishabebee @othman26square @teamnisha @nishasfilmproduction