Friday, December 4, 2015

NISHA`S FILM PRODUCTION WAJA KIVINGINE

Ile kampuni inayoongoza kufanya vizuri upande wa filamu yaja kiaina yake. Nisha`s Film Production imeamuakuchukua kundi kubwa la wasanii wachanga na kuwapa nafasi kubwa kwa ajili ya kuonyesha uwezo wao na pamoja kutimiza lengo la kampuni hiyo ya kuwanyanyua wasanii hao wenye ndoto za kuwa mastar wakubwa ndani na nje ya nchi yao ya Tanzania. Wasanii hao nao hawakulaza damu waliweza kuonyesha uwezo wao mpaka kuwa sawa na wale mastar hivyo kuwa vigumu kuwatambua kama ndio kwanza wanaanza Game hiyo.       MZIGO MPYA SOON UTAINGIA MTAANI


Kwa taarifa zaidi mfollow Production Manager wa Nisha`s film @ochu_255