Wednesday, July 15, 2015

NISHA AMEJIOA MWENYEWE , WABONGO WASHIKWA NA BUTWAA

Usipo staajabu ya Mussa utayaona ya Farao...  huo ni msemo ambao umejitokeza katika vinywa vya watu huku wakibaki mdomo wazi baada ya kushuhudia Mwanadada NISHA (SALMA JABU) Akitoa kali ya mwaka...
Msanii wa Comedy ambae anakadiriwa kua ni wapekee wa kike Africa Mashariki ikiwemo Kenya Uganda na Tanzania katika nyanja a uchekeshaji..... Akiwa nchini China nchi iliyogubikwa na Teknolojia ya hali ya juu... NISHA alitangaza kua ameamua kujioa yeye mwenyewe... huku Aina hiyo ya ndoa ikiwa na Sitntojua kua ni ya kabila gani na kwanini aliamua kuichagua China kua ndio sehemu pekee ya kutekeleza jambo hilo....huku akivaa mavazi nusu nusu... aina hii inatambulika kama (Shemale) duniani.. huenda akawa msanii na mtu wa kwanza kufanya tukio hili la pekee nchini...
Tukirudi katika maadili ya nchi Tunagundua kua aina hii si moja kati ya zile ambazo zimekatazwa kwani ameamua kujimiliki mwenyewe..bila kuvunja sheria...za maadili ya nchi.
Hivyo sheria ya nchi haiwezi kumtuhumu kama wanavyotuhumiwa wasanii wanapovunja maadili ya nchi huko ughaibuni.
AWA GUMZO CHINA
Msanii NISHA amekua akiwaacha wananchi wa jamii ya CHINA meno nje hasa anapokwenda katika moja ya hotel nchini humo kwa lengo la kujipatia milo ya mchana.asubuhi ama usiku.. kwani amekua akiagiza vyakula vya aina ya nchi hiyo na hujitahidi kula kama amezaliwa huko.
Muonekano na kuongea kwake kuliwachekesha sana Wachina katika mitaa ya Nchini humo hasa alipokua katika mizunguko... huku akizidi kuchana shavu baada ya kupokea mialiko katika sehemu mbali mbali muhimu...ikiwa hasa ni kuiongelea sanaa ya Tanzania...na ubora wake..
AJIFUNZA
Fursa ya mwanadada NISHA kutembelea katika uwanda wa nchi hizo... Alionekana kujifunza mengi sana hasa swala la sanaa na Mazoezi.. kitu ambacho wasanii wa China wamekua wakiweka kipa umbele sana.. tofauti na Tanzania.. wasanii wanaona sanaa na mazoezi ya mwili ni vitu viwili tofauti.
Blog hii ilijaribu.. kumtafuta mwanadada NISHA kwa mazungumzo ila bila mafanikio.. kwani amekua akizongwa na shuhuli zilizompeleka huko za kisanaa....
AWA TISHIO
Safari ya NISHA na uwepo wa huko China kuna weza kua Tishio kwa wasanii wa Bongo kwani huenda akaendelea kuliteka soko la filum  Bongo kwa kile kinachodaiwa huenda  akaanguka mikataba na ma kampuni makubwa ya utoaji Filum za huko China.
KILA LA HERI SALMA JABU NISHA...